Ndugu yangu,Ipo kawaida ya mtu kurizika na mahali alipo au mafanikio aliyonayo hata kama ni madogo.
Mimi nasema kama unamiliki genge unapaswa kutoka kwenye biashara ya genge .kama unamiliki duka unapaswa kuwa na supermarkert kubwa .Vile vile kama una kampuni moja unapaswa kuwaza kumiliki makampuni na viwanda .
Ukweli ni kwamba binadamu ana tabia ya kujisahau na kuamini kuwa hapo alipo ndo mwisho wake.Umesababisha ubongo kulala na kutowaza mbali zaidi na matokeo yake maisha yamekuwa hayabadiliki .Maisha ya miaka 5 iliyopita mwaka juzi ndo ya mwaka huu .

Joas(Jyb)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni