HABARI

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YATOKA

Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea kuongea mnaweza ona matokeo kwa website yao na ya TAMISEMI,

Ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.

Shule 10 zilizofanya vizuri: 
1.Kisimiri,
2.Feza Boys,
3.Alliance Girls,
4. Feza Girls,
5. Marian Boys,
6.Tabora Boys,
7.Kibaha,
8.Mzumbe
9.Ilboru,
10. Tandahimba

Tembelea Tovuti ya Necta kupata Taarifa zaidi 


Kupata Matokeo kwa njia ya simu fuata utaratibu huu 

Tuma kwenda namba 15311
Jinsi ya kutuma ujumbe:
1.   Kupata Matokeo:
Andika:
matokeo*centre number*candidate number*exam type*exam year
Mfano :
matokeo*S1665*0041*k4*2014
matokeo*M0110*0003*qt*2014
2.   Kupata Rank:
Andika: rank*centre number*exam type*exam year
Mfano : rank* S0101*k4*2014
Gharama kwa SMS ni Tshs 200/=
Huduma hii ni kwa watumiaji wa mitandao ya Tigo,Vodacom na Zantel tu.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni